




Serikali imesema tatizo la uaminifu kwa vijana walio wengi nchini linachangia kwa kiasi kikubwa tatizo la ajira nchini kwani huwafanya baadhi ya wenye makampuni kulazimika kuja nchini na watu wao walio na moyo safi na kuwaajiri.
Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Profesa Juma Kapuya, amesema hivi sasa, kuna matukio mengi ya aibu yahusianayo na wizi wa pesa, mali na vifaa vya makampuni, ambayo hujikuta yakiingia hasara kubwa.
Kwa sababu hiyo, Waziri Kapuya akasema wahusika wanaoendesha kampuni hizo hulazimika kuajiri watu wa kwao ili kushika nafasi ambazo Watanzania wangeweza kuzitumikia kwa uwezo sawa au hata zaidi ya wageni wanaowaleta.
"Inafikia mahala hata kijisimu tu (cha mkononi) kinaposahauliwa kidogo tu, kinakwapuliwa... Kwa kweli hili ni tatizo ambalo limeanza kuwa kubwa na linasikitisha sana," akasema Waziri Kapuya, huku akitaja sekta mojawapo inayokumbwa zaidi na tatizo hilo kuwa ni ya huduma za hoteli.
Akitolea mfano zaidi, Waziri Kapuya ameema hata Wachina wanaoendelea na ujenzi katika Chuo Kikuu cha Dodoma wamekuwa wakikumbana na matatizo ya kuibiwa mali zao na vifaa vya ujenzi kila kukicha, hali ambayo inawafanya walalamike kila mara kutokana na hasara wanayoipata.
"Nenda pale UDOM (Chuo Kikuu cha Dodoma)... Wachina wanaibiwa stoo kila siku. Je, Mchina Mjenzi akisema anataka meneja anayesimamia vifaa awe Mchina mwenzie kwa sababu waliopo sasa wanamuibia sana, halafu we ukiwa Waziri utasemaje? Ni tatizo kubwa kwa kweli," akasema Waziri Kapuya.
Aidha ameongeza kuwa hivi sasa, Wizara yake imewasiliana na Mamlaka ya Mafunzo ya Ufundi nchini, VETA ili iweze kuongeza somo la uaminifu katika mtaala wake ili walau kupunguza tatizo hilo ambalo linaleta athari kubwa katika sekta ya ajira.
"Nashukuru kwamba baada ya kuzungumza na VETA, hivi sasa suala hilo limekubaliwa na litawekwa katika mitaala yao ili kuondokana na tatizo hili la uaminifu," akasema Waziri Kapuya.
Namu who works for the Nairobi-based Kenya Television Network (KTN) was presented with the prize at the International Convention Centre here on Saturday night.
He entered the continent’s most prestigious competition for journalists with television features titled ‘In the Shadow of Mungiki’ and a news story on scars and sufurias.
The award was presented by South Africa’s Multichoice Chief Executive Officer, Nolo Letele, and CNN International Executive Vice President and Managing Director Tony Madox.
Namu topped the television features award category while sharing the television general news and features award with fellow KTN journalist Moturi Mogaka.
Their prize was presented by Tanzania’s ITV/Radio One Managing Director Joyce Mhaville on behalf of IPP Executive Chairman Reginald Mengi.
The environment category award was scooped by Kenyan television reporter, Violet Otindo. She entered the competition with an article titled ‘Nairobi matters -Embakasi’
The sports award was scooped by Adeyemi Ayodeji from Nigeria and was presented by Executive Chairman, Global Media Alliance and Founder of the CNN African journalists Awards Edward Boateng.
The HIV/Aids reporting award was won by Anna-Maria Lombard from South Africa.
The award was presented by Hopewell Rugoho the winner of CNN Mulitichoice African Journalists 2008.
Free Press Africa Award was scooped by Nicaise Kibel’bel Oka from the Democratic Republic of Congo and it was presented by the Chairperson of the judges panel Azubuike lshiekwene.
The Mohamed Amin. Photographic award went to Halden Krog from South Africa and was presented by Chief Executive Officer for A24 Media Salim Amin. Health and Medical award was won by Paul McNally from South Africa.
The Economic and Business award went to Ethar el –Katatney from Egypt while a television news award on the same category went to Johnson Benson Mwangi and John-Allan Namu both from Kenya.
The Print General News award went to Beauregard Tromp from South Africa. Francophone General News award went to Rajen Bablee of Mauritius.
Radio General News award was scooped by Viviane Tiendrebeogo from Burkina Faso.
Portuguese General Award went to Ernesto Bartolomeu from Angola while Arts and Culture award was scooped by Tolu Ogunlesi from Nigeria.
There were other 15 awards categories in total with 15 winners out of 26 finalists.
The winners were awarded with trophies and cash prizes.
Speaking at the award presentation ceremony, South African Mutichoice`s Letele said the rapid growth of these awards allows them to give voice to thousands of journalists across Africa.
“The ever growing number of categories allows all of our entrants to showcase their individual skills and cultures that are unique to the CNN Multichoice African Journalist Award”, he said.